Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Luka 10:6 - Swahili Revised Union Version

na akiwamo mwana wa amani, amani yenu itamkalia; lakini kama hamna, amani yenu itarudi kwenu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Kama akiwako mpenda amani, amani yenu itakaa naye, la sivyo, itawarudieni.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Kama akiwako mpenda amani, amani yenu itakaa naye, la sivyo, itawarudieni.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Kama akiwako mpenda amani, amani yenu itakaa naye, la sivyo, itawarudieni.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Kama kuna mtu wa amani humo, basi amani yenu itakuwa juu yake. La sivyo, itawarudia.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kama kuna mtu wa amani humo, basi amani yenu itakuwa juu yake. La sivyo, itawarudia.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

na akiwamo mwana wa amani, amani yenu itamkalia; lakini kama hamna, amani yenu itarudi kwenu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Luka 10:6
11 Marejeleo ya Msalaba  

Bali mimi, walipougua wao, Nguo yangu ilikuwa gunia. Nilijitesa nafsi yangu kwa kufunga; Maombi yangu yakarejea kifuani mwangu.


Maana kwa ajili yetu mtoto amezaliwa, Tumepewa mtoto wa kiume; Na uweza wa kifalme utakuwa begani mwake; Naye ataitwa jina lake, Mshauri wa Ajabu, Mungu Mwenye Nguvu, Baba wa Milele, Mfalme wa Amani.


Na nyumba yoyote mtakayoingia, semeni kwanza, Amani iwemo nyumbani humu;


Basi, kaeni katika nyumba iyo hiyo, mkila na kunywa vya kwao; maana, mfanya kazi amestahili kupewa ujira wake. Msihamahame kutoka nyumba hii kwenda nyumba hii.


Mtu asiwadanganye kwa maneno yasiyo na maana; kwa kuwa kwa sababu ya hayo hasira ya Mungu huwajia wana wa uasi.


Sasa, Bwana wa amani mwenyewe na awape amani daima kwa njia zote. Bwana awe pamoja nanyi nyote.


Na tunda la haki hupandwa katika amani na wale wafanyao amani.


Kama watoto wa kutii msijifananishe na tamaa zenu za kwanza za ujinga wenu;


Basi sasa ujue na kufikiri utakayotenda; kwa sababu yamekusudiwa mabaya juu ya bwana wetu, na juu ya nyumba yake yote; kwa kuwa yeye ni mtu asiyefaa kabisa, hata mtu hawezi kusema naye.