Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Luka 10:5 - Swahili Revised Union Version

Na nyumba yoyote mtakayoingia, semeni kwanza, Amani iwemo nyumbani humu;

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Mkiingia katika nyumba yoyote, kwanza wasalimuni hivi: ‘Amani iwe katika nyumba hii!’

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Mkiingia katika nyumba yoyote, kwanza wasalimuni hivi: ‘Amani iwe katika nyumba hii!’

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Mkiingia katika nyumba yoyote, kwanza wasalimuni hivi: ‘Amani iwe katika nyumba hii!’

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

“Mkiingia katika nyumba yoyote, kwanza semeni, ‘Amani iwe kwenu.’

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

“Mkiingia katika nyumba yoyote, kwanza semeni, ‘Amani iwe kwenu.’

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Na nyumba yoyote mtakayoingia, semeni kwanza, Amani iwemo nyumbani humu;

Tazama sura
Tafsiri zingine



Luka 10:5
9 Marejeleo ya Msalaba  

Mimi nayaumba matunda ya midomo; Amani, amani, kwake yeye aliye mbali, na kwake yeye aliye karibu; asema BWANA; nami nitamponya.


Msichukue mfuko, wala mkoba, wala viatu; wala msimwamkie mtu njiani.


na akiwamo mwana wa amani, amani yenu itamkalia; lakini kama hamna, amani yenu itarudi kwenu.


Yesu akamwambia, Leo wokovu umefika nyumbani humu, kwa sababu huyu naye ni mwana wa Abrahamu.


Neno lile alilowapelekea wana wa Israeli akihubiri Habari Njema ya amani kwa Yesu Kristo (ndiye Bwana wa wote),


Akaja akahubiri amani kwenu ninyi mliokuwa mbali, na amani kwao wale waliokuwa karibu.


na hivi ndivyo mtakavyomwambia huyu aishiye salama, Amani na iwe kwako, na amani nyumbani mwako, na amani kwao wote ulio nao.