Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Luka 1:55 - Swahili Revised Union Version

Kama alivyowaambia baba zetu, Abrahamu na uzao wake hata milele.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

kama alivyowaahidia wazee wetu, Abrahamu na wazawa wake hata milele.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

kama alivyowaahidia wazee wetu, Abrahamu na wazawa wake hata milele.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

kama alivyowaahidia wazee wetu, Abrahamu na wazawa wake hata milele.”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Ibrahimu na uzao wake milele, kama alivyowaahidi baba zetu.”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Ibrahimu na uzao wake milele, kama alivyowaahidi baba zetu.”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Kama alivyowaambia baba zetu, Abrahamu na uzao wake hata milele.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Luka 1:55
12 Marejeleo ya Msalaba  

nami nitawabariki wakubarikio, naye akulaaniye nitamlaani; na katika wewe jamaa zote za dunia watabarikiwa.


Mungu akasema, Sivyo, lakini Sara mkeo atakuzalia mwana wa kiume, nawe utamwita jina lake Isaka. Nami nitafanya agano langu imara kwake kuwa agano la milele kwa ajili ya uzao wake baada yake.


Agano langu nitalifanya imara kati yangu na wewe, na uzao wako baada yako, na vizazi vyao, kuwa agano la milele, kwamba nitakuwa Mungu kwako na kwa uzao wako baada yako.


na katika uzao wako mataifa yote ya dunia watajibarikia; kwa sababu umetii sauti yangu.


Nitazidisha uzao wako kama nyota za mbinguni, nami nitawapa uzao wako nchi hizi zote, na katika uzao wako mataifa yote ya dunia watajibarikia.


Na uzao wako utakuwa kama mavumbi ya nchi, nawe utaenea upande wa magharibi, na mashariki, na kaskazini, na kusini; na katika wewe, na katika uzao wako, jamaa zote za dunia watabarikiwa.


Amemsaidia Israeli, mtumishi wake; Ili kukumbuka rehema zake;


Mariamu akakaa naye kadiri ya miezi mitatu, kisha akarudi kwenda nyumbani kwake.