Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Luka 1:37 - Swahili Revised Union Version

kwa kuwa hakuna neno lisilowezekana kwa Mungu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Kwa maana hakuna jambo lisilowezekana kwa Mungu.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Kwa maana hakuna jambo lisilowezekana kwa Mungu.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Kwa maana hakuna jambo lisilowezekana kwa Mungu.”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Kwa maana kwa Mungu hakuna lisilowezekana.”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kwa maana kwa Mwenyezi Mungu hakuna lisilowezekana.”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

kwa kuwa hakuna neno lisilowezekana kwa Mungu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Luka 1:37
14 Marejeleo ya Msalaba  

Kuna neno gani lililo gumu la kumshinda BWANA? Kwa muhula wake nitakurudia, wakati huu huu mwakani, na Sara atapata mwana wa kiume.


Lile pipa la unga halikupunguka, wala ile chupa ya mafuta haikuisha, sawasawa na neno la BWANA alilolinena kwa kinywa cha Eliya.


Na jambo hili ni jepesi machoni pa BWANA; pia atawatia Wamoabi mikononi mwenu.


Hayo myajuayo ninyi, na mimi pia nayajua; Mimi si duni kuliko ninyi.


Aa! Bwana MUNGU, tazama, wewe umeziumba mbingu na nchi, kwa uweza wako mkuu na kwa mkono wako ulionyoshwa; hapana neno lililo gumu usiloliweza;


Tazama, mimi ni BWANA, Mungu wa wote wenye mwili; je! Kuna neno gumu lolote nisiloliweza?


BWANA wa majeshi asema hivi, Ingawa hili ni neno lililo gumu mbele ya macho ya mabaki ya watu hawa katika siku hizo, je, litakuwa neno gumu mbele ya macho yangu? Asema BWANA wa majeshi.


BWANA akamwambia Musa, Je! Mkono wa BWANA umepungua urefu wake? Sasa utaona kama neno langu litatimizwa kwako, au la.


Yesu akawakazia macho, akawaambia, Kwa wanadamu hilo haliwezekani; bali kwa Mungu yote yawezekana.


Yesu akawakazia macho, akasema, Kwa wanadamu haiwezekani, bali kwa Mungu sivyo; maana yote yawezekana kwa Mungu.


Tena, tazama, jamaa yako Elisabeti naye amechukua mimba ya mtoto wa kiume katika uzee wake; na mwezi huu ni wa sita kwake yeye aliyeitwa tasa;


Mariamu akasema, Tazama, mimi ni mjakazi wa Bwana; na iwe kwangu kama ulivyosema. Kisha malaika akaondoka akaenda zake.


Akasema, Yasiyowezekana kwa wanadamu yawezekana kwa Mungu.


atakayeubadili mwili wetu wa unyonge, upate kufanana na mwili wake wa utukufu, kwa uweza ule ambao kwa huo aweza hata kuvitiisha vitu vyote viwe chini yake.