Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Luka 1:34 - Swahili Revised Union Version

Mariamu akamwambia malaika, Litakuwaje neno hili, maana sijui mume?

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Maria akamjibu, “Yatawezekanaje hayo, hali mimi ni bikira?”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Maria akamjibu, “Yatawezekanaje hayo, hali mimi ni bikira?”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Maria akamjibu, “Yatawezekanaje hayo, hali mimi ni bikira?”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Mariamu akamuuliza huyo malaika, “Maadamu mimi ni bikira, jambo hili litawezekanaje?”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Mariamu akamuuliza huyo malaika, “Maadamu mimi ni bikira, jambo hili litawezekanaje?”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Mariamu akamwambia malaika, Litakuwaje neno hili, maana sijui mume?

Tazama sura
Tafsiri zingine



Luka 1:34
4 Marejeleo ya Msalaba  

Ataimiliki nyumba ya Yakobo hata milele, na ufalme wake utakuwa hauna mwisho.


Malaika akajibu akamwambia, Roho Mtakatifu atakujia juu yako, na nguvu zake Aliye Juu zitakufunika kama kivuli; kwa sababu hiyo hicho kitakachozaliwa kitaitwa kitakatifu, Mwana wa Mungu.


Lakini simama, uingie mjini, nawe utaambiwa yakupasayo kutenda.