Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Luka 1:31 - Swahili Revised Union Version

Tazama, utachukua mimba na kuzaa mtoto wa kiume; na jina lake utamwita Yesu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Utachukua mimba, utamzaa mtoto wa kiume, nawe utampa jina Yesu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Utachukua mimba, utamzaa mtoto wa kiume, nawe utampa jina Yesu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Utachukua mimba, utamzaa mtoto wa kiume, nawe utampa jina Yesu.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Tazama, utachukua mimba, nawe utamzaa mtoto wa kiume na utamwita jina Isa.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Tazama, utachukua mimba, nawe utamzaa mtoto mwanaume na utamwita jina lake Isa.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Tazama, utachukua mimba na kuzaa mtoto wa kiume; na jina lake utamwita Yesu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Luka 1:31
10 Marejeleo ya Msalaba  

Na wafurahi baba yako na mama yako; Na afurahi aliyekuzaa.


Kwa hiyo Bwana mwenyewe atawapa ishara. Tazama, bikira atachukua mimba, atazaa mtoto wa kiume, naye atamwita jina lake Imanueli.


Naye atazaa mwana, nawe utamwita jina lake Yesu, maana, yeye ndiye atakayewaokoa watu wake kutoka dhambi zao.


Tazama, bikira atachukua mimba, Naye atazaa mwana; Nao watamwita jina lake Imanueli; Yaani, Mungu pamoja nasi.


asimjue kamwe hadi alipomzaa mwanawe; akamwita jina lake YESU.


Lakini yule malaika akamwambia, Usiogope, Zakaria, maana dua yako imesikiwa, na mkeo Elisabeti atakuzalia mtoto wa kiume, na jina lake utamwita Yohana.


kwa mwanamwali bikira aliyekuwa ameposwa na mtu, jina lake Yusufu, wa ukoo wa Daudi; na jina lake bikira huyo ni Mariamu.


Hata zilipotumia siku nane za kumtahiri, aliitwa jina lake Yesu; kama alivyoitwa na malaika kabla hajachukuliwa mimba.


Basi Daudi amwita Bwana; amekuwaje mwana wake?


Lakini ulipowadia utimilifu wa wakati, Mungu alimtuma Mwanawe ambaye amezaliwa na mwanamke, amezaliwa chini ya sheria,