Mathayo 1:21 - Swahili Revised Union Version21 Naye atazaa mwana, nawe utamwita jina lake Yesu, maana, yeye ndiye atakayewaokoa watu wake kutoka dhambi zao. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema21 Atajifungua mtoto wa kiume, nawe utampa jina Yesu, kwa kuwa yeye ndiye atakayewaokoa watu wake katika dhambi zao.” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND21 Atajifungua mtoto wa kiume, nawe utampa jina Yesu, kwa kuwa yeye ndiye atakayewaokoa watu wake katika dhambi zao.” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza21 Atajifungua mtoto wa kiume, nawe utampa jina Yesu, kwa kuwa yeye ndiye atakayewaokoa watu wake katika dhambi zao.” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu21 Naye atamzaa mwana, nawe utamwita jina Isa, kwa maana yeye ndiye atakayewaokoa watu wake kutoka dhambi zao.” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu21 Naye atamzaa mwana, nawe utamwita Jina lake Isa, kwa maana yeye ndiye atakayewaokoa watu wake kutoka dhambi zao.” Tazama suraBIBLIA KISWAHILI21 Naye atazaa mwana, nawe utamwita jina lake Yesu, maana, yeye ndiye atakayewaokoa watu wake na dhambi zao. Tazama sura |