Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Luka 1:24 - Swahili Revised Union Version

Hata baada ya siku zile mkewe Elisabeti alichukua mimba akatawa miezi mitano, akisema,

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Baadaye Elisabeti mkewe akapata mimba. Akajificha nyumbani kwa muda wa miezi mitano, akisema:

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Baadaye Elisabeti mkewe akapata mimba. Akajificha nyumbani kwa muda wa miezi mitano, akisema:

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Baadaye Elisabeti mkewe akapata mimba. Akajificha nyumbani kwa muda wa miezi mitano, akisema:

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Baada ya muda usio mrefu, Elizabeti mkewe akapata mimba, naye akajitenga kwa miezi mitano.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Baada ya muda usio mrefu, Elizabeti mkewe akapata mimba, naye akajitenga kwa miezi mitano.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Hata baada ya siku zile mkewe Elisabeti alichukua mimba akatawa miezi mitano, akisema,

Tazama sura
Tafsiri zingine



Luka 1:24
6 Marejeleo ya Msalaba  

Sara akapata mimba akamzalia Abrahamu mwana wa kiume katika uzee wake, kwa muhula alioambiwa na Mungu.


Yule mwanamke akachukua mimba, akazaa mtoto wa kiume wakati uo huo mwakani, kama Elisha alivyomwambia.


Ikawa siku za huduma yake zilipokuwa zimetimia akaenda nyumbani kwake.


Hivi ndivyo alivyonitendea Bwana katika siku zile alizoniangalia ili kuniondolea aibu yangu mbele ya watu.


Zamani za Herode, mfalme wa Yudea, palikuwa na kuhani mmoja, jina lake Zakaria, wa kikundi cha ukuhani cha Abiya, na mkewe alikuwa mmojawapo wa uzao wa Haruni, jina lake Elisabeti.


Kitabu kile cha kwanza nilikiandika, Theofilo, kuhusu mambo yote aliyoanza Yesu kufanya na kufundisha,