Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Luka 1:24 - Swahili Revised Union Version

24 Hata baada ya siku zile mkewe Elisabeti alichukua mimba akatawa miezi mitano, akisema,

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

24 Baadaye Elisabeti mkewe akapata mimba. Akajificha nyumbani kwa muda wa miezi mitano, akisema:

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

24 Baadaye Elisabeti mkewe akapata mimba. Akajificha nyumbani kwa muda wa miezi mitano, akisema:

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

24 Baadaye Elisabeti mkewe akapata mimba. Akajificha nyumbani kwa muda wa miezi mitano, akisema:

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

24 Baada ya muda usio mrefu, Elizabeti mkewe akapata mimba, naye akajitenga kwa miezi mitano.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

24 Baada ya muda usio mrefu, Elizabeti mkewe akapata mimba, naye akajitenga kwa miezi mitano.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

24 Hata baada ya siku zile mkewe Elisabeti alichukua mimba akatawa miezi mitano, akisema,

Tazama sura Nakili




Luka 1:24
6 Marejeleo ya Msalaba  

Sara akapata mimba akamzalia Abrahamu mwana wa kiume katika uzee wake, kwa muhula alioambiwa na Mungu.


Yule mwanamke akachukua mimba, akazaa mtoto wa kiume wakati uo huo mwakani, kama Elisha alivyomwambia.


Ikawa siku za huduma yake zilipokuwa zimetimia akaenda nyumbani kwake.


Hivi ndivyo alivyonitendea Bwana katika siku zile alizoniangalia ili kuniondolea aibu yangu mbele ya watu.


Zamani za Herode, mfalme wa Yudea, palikuwa na kuhani mmoja, jina lake Zakaria, wa kikundi cha ukuhani cha Abiya, na mkewe alikuwa mmojawapo wa uzao wa Haruni, jina lake Elisabeti.


Kitabu kile cha kwanza nilikiandika, Theofilo, kuhusu mambo yote aliyoanza Yesu kufanya na kufundisha,


Tufuate:

Matangazo


Matangazo