Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Kutoka 1:8 - Swahili Revised Union Version

Basi akatokea mfalme mpya kutawala Misri, asiyemjua Yusufu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Basi, akatokea mfalme mwingine huko Misri ambaye hakumjua Yosefu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Basi, akatokea mfalme mwingine huko Misri ambaye hakumjua Yosefu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Basi, akatokea mfalme mwingine huko Misri ambaye hakumjua Yosefu.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Kisha mfalme mwingine ambaye hakufahamu habari za Yusufu akatawala Misri.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kisha mfalme mpya ambaye hakufahamu habari za Yusufu akatawala Misri.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Basi akatokea mfalme mpya kutawala Misri, asiyemjua Yusufu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Kutoka 1:8
10 Marejeleo ya Msalaba  

Akawageuza moyo wawachukie watu wake, Wakawatendea hila watumishi wake.


Nenda, ukawakusanye wazee wa Israeli pamoja, ukawaambie, BWANA, Mungu wa baba zenu, Mungu wa Abrahamu, Mungu wa Isaka, Mungu wa Yakobo, amenitokea, akaniambia, Hakika nimewajilieni, tena nimeyaona mnayotendewa huko Misri;


BWANA akasema, Hakika nimeyaona mateso ya watu wangu walioko Misri, nami nimekisikia kilio chao kwa sababu ya wasimamizi wao; maana nayajua maumivu yao;


Basi, tazama, kilio cha wana wa Israeli kimenifikia; tena nimeyaona hayo mateso ambayo Wamisri wanawatesa.


Basi, kulikuwemo na mtu maskini mwenye hekima, naye kwa hekima yake akauokoa mji ule lakini hata hivyo hapakuwa na mtu yeyote aliyemkumbuka yule mtu maskini.


hata mfalme mwingine asiyemfahamu Yusufu akaanza kutawala katika Misri.


Huyo akawafanyia hila kabila yetu, na kuwatenda mabaya baba zetu, akiwaamuru wawatupe watoto wao wachanga, ili wasiishi.


Wamisri wakatuonea, wakatutesa, wakatutumikisha utumwa mzito.


Tena watu wote wa kizazi hicho nao walikusanywa waende kwa baba zao; kikainuka kizazi kingine nyuma yao, ambacho hakikumjua BWANA, wala hawakuijua hiyo kazi ambayo alikuwa ameitenda kwa ajili ya Israeli.