Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Isaya 24:17 - Swahili Revised Union Version

Hofu, na shimo, na mtego, viko juu yako, Ee mwenye kukaa duniani.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Hofu, mashimo na mitego, hivi ndivyo vinavyowangojeni enyi wakazi wa dunia.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Hofu, mashimo na mitego, hivi ndivyo vinavyowangojeni enyi wakazi wa dunia.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Hofu, mashimo na mitego, hivi ndivyo vinavyowangojeni enyi wakazi wa dunia.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Hofu, shimo na mtego vinakungojea, ewe mtu ukaaye duniani.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Hofu, shimo na mtego vinakungojea, ewe mtu ukaaye duniani.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Hofu, na shimo, na mtego, viko juu yako, Ee mwenye kukaa duniani.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Isaya 24:17
13 Marejeleo ya Msalaba  

Na itakuwa atakayeokoka na upanga wa Hazaeli, Yehu atamwua; na atakayeokoka na upanga wa Yehu, Elisha atamwua.


Kwani ametupwa katika wavu na miguu yake mwenyewe, Naye huenda juu ya matanzi.


Naye atakuwa ni mahali patakatifu; bali ni jiwe la kujikwaza na mwamba wa kujikwaa kwa nyumba za Israeli zote mbili, na mtego na tanzi kwa wenyeji wa Yerusalemu.


Basi, BWANA asema hivi, Tazama, nitaleta mabaya juu yao, ambayo hawataweza kuyakimbia; nao watanililia, lakini sitawasikiliza.


Na kufa kutachaguliwa kuliko kuishi na mabaki wote waliosalia katika jamaa hii mbovu, waliosalia kila mahali nilikowafukuza, asema BWANA wa majeshi.


Umeziita kama katika siku ya mkutano wa makini; Hofu zangu zije pande zote; Wala hapana hata mmoja aliyepona wala kusalia Katika siku ya hasira ya BWANA; Hao niliowabeba na kuwalea Huyo adui yangu amewakomesha.


Hofu imetujilia na shimo, Ukiwa na uharibifu.


Ninyi mmeuogopa upanga; nami nitauleta upanga juu yenu, asema Bwana MUNGU.


Tena wavu wangu nitautandika juu yake, naye atanaswa kwa mtego wangu; nami nitampeleka Babeli, mpaka nchi ya Wakaldayo; lakini hataiona, ingawa atakufa huko.


Maana Bwana MUNGU asema hivi; Je! U zaidi sana nitakapoleta hukumu zangu nne zilizo kali juu ya Yerusalemu, yaani, upanga, na njaa, na wanyama wabaya, na tauni, niwakatilie mbali nayo wanadamu na wanyama?


Ni kama mtu aliyemkimbia simba, akakutana na dubu; au aliingia katika nyumba akauegemeza mkono wake ukutani, nyoka akamwuma.