Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Hosea 8:2 - Swahili Revised Union Version

Watanililia, Mungu wangu, sisi Israeli tunakujua.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Waisraeli hunililia wakisema: ‘Mungu wetu, sisi tunakujua.’

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Waisraeli hunililia wakisema: ‘Mungu wetu, sisi tunakujua.’

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Waisraeli hunililia wakisema: ‘Mungu wetu, sisi tunakujua.’

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Israeli ananililia, ‘Ee Mungu wetu, tunakukubali!’

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Israeli ananililia, ‘Ee Mungu wetu, tunakukubali!’

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Watanililia, Mungu wangu, sisi Israeli tunakujua.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Hosea 8:2
14 Marejeleo ya Msalaba  

Akasema, Fuatana nami, ukaone wivu wangu kwa BWANA. Wakampandisha garini mwake.


Walakini katika makosa yake Yeroboamu mwana wa Nebati, ambayo kwa hayo aliwakosesha Israeli, Yehu hakutoka katika kuyafuata, yaani, ndama za dhahabu zilizokuwako katika Betheli na Dani.


Msitumainie maneno ya uongo, mkisema, Hekalu la BWANA, Hekalu la BWANA, Hekalu la BWANA ndiyo haya.


Nitakwenda zangu niparudie mahali pangu, hata watakapoungama makosa yao na kunitafuta uso wangu; katika taabu yao watanitafuta kwa bidii.


Israeli ameyatupa yaliyo mema; adui watamfuatia.


Wakuu wake huhukumu ili wapate rushwa, na makuhani wake hufundisha ili wapate ijara, na manabii wake hubashiri ili wapate fedha; ila hata hivyo watamtegemea BWANA, na kusema, Je! Hayupo BWANA katikati yetu? Hapana neno baya lolote litakalotufikia.


Halafu wakaja na wale wanawali wengine, wakasema, Bwana, Bwana, utufungulie.


Si kila mtu aniambiaye, Bwana, Bwana, atakayeingia katika ufalme wa mbinguni; bali ni yeye afanyaye mapenzi ya Baba yangu aliye mbinguni.


Wakati mwenye nyumba atakaposimama na kuufunga mlango, nanyi mkaanza kusimama nje na kuubisha mlango, mkisema, Ee Bwana, tufungulie; yeye atajibu na kuwaambia, Siwajui mtokako;


Wanakiri ya kwamba wanamjua Mungu, bali kwa matendo yao wanamkana; ni wenye machukizo, waasi, wala hawafai kwa tendo lolote jema.


Yeye asemaye, Nimemjua, wala hazishiki amri zake, ni mwongo, wala kweli haimo ndani yake.