Yeremia 7:4 - Swahili Revised Union Version4 Msitumainie maneno ya uongo, mkisema, Hekalu la BWANA, Hekalu la BWANA, Hekalu la BWANA ndiyo haya. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema4 Msitumainie maneno haya ya uongo: ‘Hili ni hekalu la Mwenyezi-Mungu, hekalu la Mwenyezi-Mungu, naam hekalu la Mwenyezi-Mungu.’ Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND4 Msitumainie maneno haya ya uongo: ‘Hili ni hekalu la Mwenyezi-Mungu, hekalu la Mwenyezi-Mungu, naam hekalu la Mwenyezi-Mungu.’ Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza4 Msitumainie maneno haya ya uongo: ‘Hili ni hekalu la Mwenyezi-Mungu, hekalu la Mwenyezi-Mungu, naam hekalu la Mwenyezi-Mungu.’ Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu4 Msitumainie maneno ya udanganyifu na kusema, “Hili ni Hekalu la Mwenyezi Mungu, Hekalu la Mwenyezi Mungu, Hekalu la Mwenyezi Mungu!” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu4 Msitumainie maneno ya udanganyifu na kusema, “Hili ni Hekalu la bwana, Hekalu la bwana, Hekalu la bwana!” Tazama suraBIBLIA KISWAHILI4 Msitumainie maneno ya uongo, mkisema, Hekalu la BWANA, Hekalu la BWANA, Hekalu la BWANA ndiyo haya. Tazama sura |