Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Hesabu 7:72 - Swahili Revised Union Version

Na siku ya kumi na moja Pagieli mwana wa Okrani, mkuu wa wana wa Asheri;

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Siku ya kumi na moja ikawa zamu ya Pagieli mwana wa Okrani, kiongozi wa kabila la Asheri.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Siku ya kumi na moja ikawa zamu ya Pagieli mwana wa Okrani, kiongozi wa kabila la Asheri.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Siku ya kumi na moja ikawa zamu ya Pagieli mwana wa Okrani, kiongozi wa kabila la Asheri.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Siku ya kumi na moja Pagieli mwana wa Okrani, kiongozi wa watu wa Asheri, alileta sadaka yake.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Siku ya kumi na moja Pagieli mwana wa Okrani, kiongozi wa watu wa Asheri, alileta sadaka yake.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Na siku ya kumi na moja Pagieli mwana wa Okrani, mkuu wa wana wa Asheri;

Tazama sura
Tafsiri zingine



Hesabu 7:72
4 Marejeleo ya Msalaba  

Wa Asheri; Pagieli mwana wa Okirani.


Na hao watakaopanga karibu naye ni kabila la Asheri; na mkuu wa wana wa Asheri atakuwa Pagieli mwana wa Okrani;


tena kwa ajili ya dhabihu ya sadaka za amani, ng'ombe dume wawili, na kondoo dume watano, na mbuzi dume watano, na wana-kondoo dume watano wa mwaka mmoja; hayo ndiyo matoleo ya Ahiezeri mwana wa Amishadai.


matoleo yake yalikuwa sahani moja ya fedha, uzani wake ni shekeli mia moja na thelathini, na bakuli moja ya fedha, uzani wake shekeli sabini, kwa shekeli ya mahali patakatifu; vyombo hivyo vyote viwili vilikuwa vimejaa unga mwembamba uliochanganywa na mafuta, kuwa sadaka ya unga;