Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Hesabu 7:72 - Swahili Revised Union Version

72 Na siku ya kumi na moja Pagieli mwana wa Okrani, mkuu wa wana wa Asheri;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

72 Siku ya kumi na moja ikawa zamu ya Pagieli mwana wa Okrani, kiongozi wa kabila la Asheri.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

72 Siku ya kumi na moja ikawa zamu ya Pagieli mwana wa Okrani, kiongozi wa kabila la Asheri.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

72 Siku ya kumi na moja ikawa zamu ya Pagieli mwana wa Okrani, kiongozi wa kabila la Asheri.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

72 Siku ya kumi na moja Pagieli mwana wa Okrani, kiongozi wa watu wa Asheri, alileta sadaka yake.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

72 Siku ya kumi na moja Pagieli mwana wa Okrani, kiongozi wa watu wa Asheri, alileta sadaka yake.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

72 Na siku ya kumi na moja Pagieli mwana wa Okrani, mkuu wa wana wa Asheri;

Tazama sura Nakili




Hesabu 7:72
4 Marejeleo ya Msalaba  

Wa Asheri; Pagieli mwana wa Okirani.


Na hao watakaopanga karibu naye ni kabila la Asheri; na mkuu wa wana wa Asheri atakuwa Pagieli mwana wa Okrani;


tena kwa ajili ya dhabihu ya sadaka za amani, ng'ombe dume wawili, na kondoo dume watano, na mbuzi dume watano, na wana-kondoo dume watano wa mwaka mmoja; hayo ndiyo matoleo ya Ahiezeri mwana wa Amishadai.


matoleo yake yalikuwa sahani moja ya fedha, uzani wake ni shekeli mia moja na thelathini, na bakuli moja ya fedha, uzani wake shekeli sabini, kwa shekeli ya mahali patakatifu; vyombo hivyo vyote viwili vilikuwa vimejaa unga mwembamba uliochanganywa na mafuta, kuwa sadaka ya unga;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo