Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Hesabu 7:36 - Swahili Revised Union Version

Siku ya tano Shelumieli mwana wa Suri-shadai, mkuu wa wana Simeoni;

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Siku ya tano ikawa zamu ya Shelumieli mwana wa Suri-shadai, kiongozi wa kabila la Simeoni.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Siku ya tano ikawa zamu ya Shelumieli mwana wa Suri-shadai, kiongozi wa kabila la Simeoni.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Siku ya tano ikawa zamu ya Shelumieli mwana wa Suri-shadai, kiongozi wa kabila la Simeoni.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Siku ya tano Shelumieli mwana wa Surishadai, kiongozi wa watu wa Simeoni, alileta sadaka yake.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Siku ya tano Shelumieli mwana wa Surishadai, kiongozi wa watu wa Simeoni, alileta sadaka yake.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Siku ya tano Shelumieli mwana wa Suri-shadai, mkuu wa wana Simeoni;

Tazama sura
Tafsiri zingine



Hesabu 7:36
4 Marejeleo ya Msalaba  

Wa Simeoni; Shelumieli mwana wa Suri-shadai.


Na hao watakaopanga karibu naye ni kabila la Simeoni; na mkuu wa wana wa Simeoni atakuwa Shelumieli mwana wa Suri-shadai;


tena kwa ajili ya dhabihu ya sadaka za amani, ng'ombe dume wawili, na kondoo dume watano, na mbuzi dume watano, na wana-kondoo dume watano wa mwaka mmoja; hayo ndiyo matoleo ya Elisuri mwana wa Shedeuri.


matoleo yake yalikuwa sahani moja ya fedha, uzani wake ni shekeli mia moja na thelathini, na bakuli moja ya fedha, uzani wake shekeli sabini, kwa shekeli ya mahali patakatifu; vyombo hivyo vyote viwili vilikuwa vimejaa unga mwembamba uliochanganywa na mafuta, kuwa sadaka ya unga;