Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Hesabu 7:36 - Swahili Revised Union Version

36 Siku ya tano Shelumieli mwana wa Suri-shadai, mkuu wa wana Simeoni;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

36 Siku ya tano ikawa zamu ya Shelumieli mwana wa Suri-shadai, kiongozi wa kabila la Simeoni.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

36 Siku ya tano ikawa zamu ya Shelumieli mwana wa Suri-shadai, kiongozi wa kabila la Simeoni.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

36 Siku ya tano ikawa zamu ya Shelumieli mwana wa Suri-shadai, kiongozi wa kabila la Simeoni.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

36 Siku ya tano Shelumieli mwana wa Surishadai, kiongozi wa watu wa Simeoni, alileta sadaka yake.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

36 Siku ya tano Shelumieli mwana wa Surishadai, kiongozi wa watu wa Simeoni, alileta sadaka yake.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

36 Siku ya tano Shelumieli mwana wa Suri-shadai, mkuu wa wana Simeoni;

Tazama sura Nakili




Hesabu 7:36
4 Marejeleo ya Msalaba  

Wa Simeoni; Shelumieli mwana wa Suri-shadai.


Na hao watakaopanga karibu naye ni kabila la Simeoni; na mkuu wa wana wa Simeoni atakuwa Shelumieli mwana wa Suri-shadai;


tena kwa ajili ya dhabihu ya sadaka za amani, ng'ombe dume wawili, na kondoo dume watano, na mbuzi dume watano, na wana-kondoo dume watano wa mwaka mmoja; hayo ndiyo matoleo ya Elisuri mwana wa Shedeuri.


matoleo yake yalikuwa sahani moja ya fedha, uzani wake ni shekeli mia moja na thelathini, na bakuli moja ya fedha, uzani wake shekeli sabini, kwa shekeli ya mahali patakatifu; vyombo hivyo vyote viwili vilikuwa vimejaa unga mwembamba uliochanganywa na mafuta, kuwa sadaka ya unga;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo