Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Hesabu 4:2 - Swahili Revised Union Version

Katika wana wa Lawi uitenge hesabu ya wana wa Kohathi, kwa jamaa zao, na nyumba za baba zao,

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

“Wahesabu watu wa ukoo wa Kohathi, mmoja wa koo za Lawi, kufuatana na jamaa zao na koo zao;

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

“Wahesabu watu wa ukoo wa Kohathi, mmoja wa koo za Lawi, kufuatana na jamaa zao na koo zao;

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

“Wahesabu watu wa ukoo wa Kohathi, mmoja wa koo za Lawi, kufuatana na jamaa zao na koo zao;

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

“Wahesabu Wakohathi walio sehemu ya Walawi kwa koo zao na jamaa zao.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

“Wahesabu Wakohathi walio sehemu ya Walawi kwa koo zao na jamaa zao.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Katika wana wa Lawi uitenge hesabu ya wana wa Kohathi, kwa jamaa zao, na nyumba za baba zao,

Tazama sura
Tafsiri zingine



Hesabu 4:2
4 Marejeleo ya Msalaba  

Na wana wa Kohathi kwa jamaa zao ni Amramu, na Ishari, na Hebroni, na Uzieli.


Na katika Kohathi ni jamaa ya Waamrami, na jamaa ya Waishari, na jamaa ya Wahebroni, na jamaa ya hao Wauzieli; hizo ni jamaa za Wakohathi.


Kisha BWANA akanena na Musa na Haruni, na kuwaambia,


tangu waliopata umri wa miaka thelathini na zaidi hata umri wa miaka hamsini, wote waingiao katika utumishi huo, ili kufanya kazi ya hema ya kukutania.