Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Hesabu 32:34 - Swahili Revised Union Version

Kisha wana wa Gadi wakajenga Diboni, na Atarothi, na Aroeri;

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Kabila la Reubeni likaijenga miji ya Diboni, Atarothi, Aroeri,

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Kabila la Reubeni likaijenga miji ya Diboni, Atarothi, Aroeri,

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Kabila la Reubeni likaijenga miji ya Diboni, Atarothi, Aroeri,

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Wagadi wakajenga Diboni, Atarothi, Aroeri,

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Wagadi wakajenga Diboni, Atarothi, Aroeri,

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Kisha wana wa Gadi wakajenga Diboni, na Atarothi, na Aroeri;

Tazama sura
Tafsiri zingine



Hesabu 32:34
9 Marejeleo ya Msalaba  

na Bela, mwana wa Azazi, mwana wa Shemaya, mwana wa Yoeli, aliyekaa huko Aroeri, hadi Nebo na Baal-meoni;


Miji ya Aroeri imeachwa; itakuwa mahali pa makundi ya kondoo, nao watajilaza huko wala hapana atakayewatia hofu.


na kutoka Bamothi wakaenda bondeni kwenye konde la Moabu, hata kilele cha Pisga, kielekeacho chini jangwani.


Tumewapigia mishale; Heshboni umepotea mpaka Diboni, Nasi tumeharibu mpaka Nofa, Ifikiayo Medeba.


Atarothi, na Diboni, na Yazeri, na Nimra, na Heshboni, na Eleale, na Sebamu, na Nebo na Beoni,


na Atrothi-shofani, na Yazeri, na Yogbeha;


Kutoka Aroeri iliyo katika ukingo wa bonde la Arnoni, na huo mji ulio ndani ya bonde, mpaka kufika Gileadi, hapakuwa na mji uliokuwa na ngome ndefu ya kutushinda; BWANA, Mungu wetu, aliiweka wazi yote mbele yetu; ila nchi ya wana wa Amoni hukuisongelea;


Akawapiga kutoka Aroeri hadi kufikia Minithi, miji ishirini, na mpaka Abel-keramimu, akawapiga kwa pigo kuu mno. Basi hivyo wana wa Amoni walishindwa mbele ya wana wa Israeli.