Isaya 17:2 - Swahili Revised Union Version2 Miji ya Aroeri imeachwa; itakuwa mahali pa makundi ya kondoo, nao watajilaza huko wala hapana atakayewatia hofu. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema2 Mitaa yake imeachwa mahame milele. Itakuwa makao ya makundi ya wanyama, wala hakuna mtu atakayewatisha. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND2 Mitaa yake imeachwa mahame milele. Itakuwa makao ya makundi ya wanyama, wala hakuna mtu atakayewatisha. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza2 Mitaa yake imeachwa mahame milele. Itakuwa makao ya makundi ya wanyama, wala hakuna mtu atakayewatisha. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu2 Miji ya Aroeri itaachwa na itaachiwa mifugo ambayo italala huko, bila yeyote wa kuyaogopesha. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu2 Miji ya Aroeri itaachwa na itaachiwa mifugo ambayo italala huko, bila yeyote wa kuyaogopesha. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI2 Miji ya Aroeri imeachwa; itakuwa mahali pa makundi ya kondoo, nao watajilaza huko wala hapana atakayewatia hofu. Tazama sura |