Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Hesabu 32:34 - Swahili Revised Union Version

34 Kisha wana wa Gadi wakajenga Diboni, na Atarothi, na Aroeri;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

34 Kabila la Reubeni likaijenga miji ya Diboni, Atarothi, Aroeri,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

34 Kabila la Reubeni likaijenga miji ya Diboni, Atarothi, Aroeri,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

34 Kabila la Reubeni likaijenga miji ya Diboni, Atarothi, Aroeri,

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

34 Wagadi wakajenga Diboni, Atarothi, Aroeri,

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

34 Wagadi wakajenga Diboni, Atarothi, Aroeri,

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

34 Kisha wana wa Gadi wakajenga Diboni, na Atarothi, na Aroeri;

Tazama sura Nakili




Hesabu 32:34
9 Marejeleo ya Msalaba  

na Bela, mwana wa Azazi, mwana wa Shemaya, mwana wa Yoeli, aliyekaa huko Aroeri, hadi Nebo na Baal-meoni;


Miji ya Aroeri imeachwa; itakuwa mahali pa makundi ya kondoo, nao watajilaza huko wala hapana atakayewatia hofu.


na kutoka Bamothi wakaenda bondeni kwenye konde la Moabu, hata kilele cha Pisga, kielekeacho chini jangwani.


Tumewapigia mishale; Heshboni umepotea mpaka Diboni, Nasi tumeharibu mpaka Nofa, Ifikiayo Medeba.


Atarothi, na Diboni, na Yazeri, na Nimra, na Heshboni, na Eleale, na Sebamu, na Nebo na Beoni,


na Atrothi-shofani, na Yazeri, na Yogbeha;


Kutoka Aroeri iliyo katika ukingo wa bonde la Arnoni, na huo mji ulio ndani ya bonde, mpaka kufika Gileadi, hapakuwa na mji uliokuwa na ngome ndefu ya kutushinda; BWANA, Mungu wetu, aliiweka wazi yote mbele yetu; ila nchi ya wana wa Amoni hukuisongelea;


Akawapiga kutoka Aroeri hadi kufikia Minithi, miji ishirini, na mpaka Abel-keramimu, akawapiga kwa pigo kuu mno. Basi hivyo wana wa Amoni walishindwa mbele ya wana wa Israeli.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo