Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Hesabu 3:49 - Swahili Revised Union Version

Basi Musa akawatoza fedha za ukombozi, hao waliozidi hesabu ya wale waliokombolewa na Walawi;

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Mose akatii, akachukua fedha hizo za fidia ya hao waliozidi idadi ya waliofidiwa na Walawi;

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Mose akatii, akachukua fedha hizo za fidia ya hao waliozidi idadi ya waliofidiwa na Walawi;

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Mose akatii, akachukua fedha hizo za fidia ya hao waliozidi idadi ya waliofidiwa na Walawi;

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Kwa hiyo Musa akakusanya fedha za ukombozi kutoka kwa wale ambao hesabu yao ilizidi wale waliokombolewa na Walawi.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kwa hiyo Musa akakusanya fedha za ukombozi kutoka kwa wale ambao hesabu yao ilizidi wale waliokombolewa na Walawi.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Basi Musa akawatoza fedha za ukombozi, hao waliozidi hesabu ya wale waliokombolewa na Walawi;

Tazama sura
Tafsiri zingine



Hesabu 3:49
2 Marejeleo ya Msalaba  

na hizo fedha ambazo walizidi wamekombolewa kwazo utampa Haruni na wanawe.


akatwaa hizo fedha kwa wazaliwa wa kwanza wa wana wa Israeli; shekeli elfu moja na mia tatu na sitini na tano kwa shekeli ya mahali patakatifu;