Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Hesabu 29:5 - Swahili Revised Union Version

na mbuzi dume mmoja kuwa sadaka ya dhambi, ili kufanya upatanisho kwa ajili yenu;

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Tena mtatoa beberu mmoja kuwa sadaka ya kuondoa dhambi ili kuwafanyia upatanisho.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Tena mtatoa beberu mmoja kuwa sadaka ya kuondoa dhambi ili kuwafanyia upatanisho.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Tena mtatoa beberu mmoja kuwa sadaka ya kuondoa dhambi ili kuwafanyia upatanisho.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Ongeza beberu mmoja kuwa sadaka ya dhambi, ili kufanya upatanisho kwa ajili yenu.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Ongeza beberu mmoja kama sadaka ya dhambi kufanya upatanisho kwa ajili yenu.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

na mbuzi dume mmoja kuwa sadaka ya dhambi, ili kufanya upatanisho kwa ajili yenu;

Tazama sura
Tafsiri zingine



Hesabu 29:5
6 Marejeleo ya Msalaba  

Wakaitwaa kanzu ya Yusufu, wakachinja mwana-mbuzi, na kuichovya kanzu katika damu.


Tena mbuzi dume mmoja kuwa sadaka ya dhambi kwa BWANA itasongezwa zaidi ya hiyo sadaka ya kuteketezwa ya sikuzote, pamoja na sadaka yake ya kinywaji.


tena mtasongeza mbuzi dume mmoja kuwa sadaka ya dhambi, ili kufanya upatanisho kwa ajili yenu.


na mbuzi dume mmoja, ili kufanya upatanisho kwa ajili yenu.


na sehemu ya moja ya kumi kwa kila mwana-kondoo katika wale wana-kondoo saba;


zaidi ya hiyo sadaka ya kuteketezwa ya kuandama mwezi, na sadaka yake ya unga, na hiyo sadaka ya kuteketezwa ya sikuzote, na sadaka yake ya unga, na sadaka zake za vinywaji, kama ilivyo amri yake, kuwa harufu ya kupendeza, ni sadaka iliyosongezwa kwa BWANA kwa moto.