Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Hesabu 26:60 - Swahili Revised Union Version

Tena kwake Haruni walizaliwa hawa, Nadabu, na Abihu, na Eleazari, na Ithamari.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Aroni alikuwa na watoto wa kiume wanne: Nadabu, Abihu, Eleazari na Ithamari.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Aroni alikuwa na watoto wa kiume wanne: Nadabu, Abihu, Eleazari na Ithamari.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Aroni alikuwa na watoto wa kiume wanne: Nadabu, Abihu, Eleazari na Ithamari.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Haruni alikuwa baba yake Nadabu na Abihu, Eleazari na Ithamari.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Haruni alikuwa baba yake Nadabu na Abihu, Eleazari na Ithamari.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Tena kwake Haruni walizaliwa hawa, Nadabu, na Abihu, na Eleazari, na Ithamari.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Hesabu 26:60
3 Marejeleo ya Msalaba  

Haruni akamwoa Elisheba, binti ya Aminadabu, dada yake Nashoni; naye akamzalia Nadabu, na Abihu, na Eleazari, na Ithamari.


Tena majina ya hao wana wa Haruni ni haya; Nadabu mzaliwa wa kwanza, na Abihu, na Eleazari, na Ithamari.


Nao watavitunza vyombo vyote vya hema ya kukutania, na kuwatumikia wana wa Israeli, kwa kuhudumu katika maskani.