Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Hesabu 26:13 - Swahili Revised Union Version

wa Sohari, jamaa ya Wasohari; wa Shauli, jamaa ya Washauli.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Zera na Shauli.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Zera na Shauli.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Zera na Shauli.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

kutoka kwa Zera, ukoo wa Wazera; kutoka kwa Shauli, ukoo wa Washauli.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

kutoka kwa Zera, ukoo wa Wazera; kutoka kwa Shauli, ukoo wa Washauli.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

wa Sohari, jamaa ya Wasohari; wa Shauli, jamaa ya Washauli.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Hesabu 26:13
6 Marejeleo ya Msalaba  

Na wana wa Simeoni; Yemueli na Yamini, na Ohadi, na Yakini, na Sohari, na Shauli, mwana wa mwanamke Mkanaani.


Kamanda wa nane wa mwezi wa nane alikuwa Sibekai, Mhushathi, wa Wazera; na katika zamu yake walikuwa watu elfu ishirini na nne.


Kamanda wa kumi wa mwezi wa kumi alikuwa Maharai, Mnetofathi, wa Wazera; na katika zamu yake walikuwa watu elfu ishirini na nne.


Na wana wa Simeoni kwa jamaa zao; wa Yemueli, jamaa ya Wayemueli; wa Yamini, jamaa ya Wayamini; na Yakini, jamaa ya Wayakini;


Hawa ndizo jamaa wa Wasimeoni, watu elfu ishirini na mbili na mia mbili.


Akazisongeza jamaa za Yuda, akaitwaa jamaa ya Wazera; akaisongeza jamaa ya Wazera mtu kwa mtu; Zabdi akatwaliwa.