Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Hesabu 26:12 - Swahili Revised Union Version

12 Na wana wa Simeoni kwa jamaa zao; wa Yemueli, jamaa ya Wayemueli; wa Yamini, jamaa ya Wayamini; na Yakini, jamaa ya Wayakini;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

12 Kabila la Simeoni. Nemueli, Yamini, Yakini,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

12 Kabila la Simeoni. Nemueli, Yamini, Yakini,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

12 Kabila la Simeoni. Nemueli, Yamini, Yakini,

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

12 Wazao wa Simeoni kwa koo zao walikuwa: kutoka kwa Nemueli, ukoo wa Wanemueli; kutoka kwa Yamini, ukoo wa Wayamini; kutoka wa Yakini, ukoo wa Wayakini;

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

12 Wazao wa Simeoni kwa koo zao walikuwa: kutoka kwa Nemueli, ukoo wa Wanemueli; kutoka kwa Yamini, ukoo wa Wayamini; kutoka wa Yakini, ukoo wa Wayakini;

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

12 Na wana wa Simeoni kwa jamaa zao; wa Yemueli, jamaa ya Wayemueli; wa Yamini, jamaa ya Wayamini; na Yakini, jamaa ya Wayakini;

Tazama sura Nakili




Hesabu 26:12
8 Marejeleo ya Msalaba  

Na wana wa Simeoni; Yemueli na Yamini, na Ohadi, na Yakini, na Sohari, na Shauli, mwana wa mwanamke Mkanaani.


Akazisimamisha nguzo ukumbini pa hekalu; akaisimamisha nguzo ya kulia, akaiita jina lake Yakini; akaisimamisha nguzo ya kushoto, akaiita jina lake Boazi.


Wana wa Simeoni; Yemueli, na Yamini, na Yakini, na Sohari, na Shauli;


Hawa ndio vichwa vya nyumba za baba zao: wana wa Reubeni, mzaliwa wa kwanza wa Israeli; ni Hanoki, na Palu, na Hesroni, na Karmi; hao ni jamaa za Reubeni.


Na wana wa Simeoni; ni Yemueli, na Yamini, na Ohadi, na Yakini, na Sohari, na Shauli mwana wa mwanamke wa Kikanaani; hao ni jamaa za Simeoni.


Katika wana wa Simeoni, vizazi vyao, kwa kufuata jamaa zao, na nyumba za baba zao, wale waliohesabiwa kama hesabu ya majina, kichwa kwa kichwa, kila mwanaume kuanzia umri wa miaka ishirini na zaidi, wote walioweza kwenda vitani;


Hata hivyo, hao wana wa Kora hawakufa.


wa Sohari, jamaa ya Wasohari; wa Shauli, jamaa ya Washauli.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo