Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Hesabu 24:12 - Swahili Revised Union Version

Balaamu akamwambia Balaki, Je! Sikuwaambia wajumbe wako ulionitumia, nikisema,

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Balaamu akamjibu Balaki, “Je, sikuwaambia wajumbe uliowatuma kwangu

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Balaamu akamjibu Balaki, “Je, sikuwaambia wajumbe uliowatuma kwangu

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Balaamu akamjibu Balaki, “Je, sikuwaambia wajumbe uliowatuma kwangu

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Balaamu akamwambia Balaki, “Je, hukumbuki jinsi nilivyowaambia wajumbe uliowatuma kwangu? Niliwaambia hivi,

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Balaamu akamwambia Balaki, “Je, hukumbuki jinsi nilivyowaambia wajumbe uliowatuma kwangu? Niliwaambia hivi,

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Balaamu akamwambia Balaki, Je! Sikuwaambia wajumbe wako ulionitumia, nikisema,

Tazama sura
Tafsiri zingine



Hesabu 24:12
3 Marejeleo ya Msalaba  

Balaamu akajibu akawaambia watumishi wa Balaki, Hata kama Balaki angenipa nyumba yake imejaa fedha na dhahabu, siwezi kukiuka neno la BWANA, Mungu wangu, kulipunguza au kuliongeza.


Balaamu akamwambia Balaki, Tazama, nimekujia. Je! Mimi sasa nina uwezo wowote kusema neno lolote? Neno lile Mungu atakalolitia kinywani mwangu, ndilo nitakalolisema.


Basi sasa kimbilia mahali pako; niliazimu kukuheshimu sana; lakini, tazama, BWANA amekuzuilia heshima.