Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Hesabu 24:12 - Swahili Revised Union Version

12 Balaamu akamwambia Balaki, Je! Sikuwaambia wajumbe wako ulionitumia, nikisema,

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

12 Balaamu akamjibu Balaki, “Je, sikuwaambia wajumbe uliowatuma kwangu

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

12 Balaamu akamjibu Balaki, “Je, sikuwaambia wajumbe uliowatuma kwangu

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

12 Balaamu akamjibu Balaki, “Je, sikuwaambia wajumbe uliowatuma kwangu

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

12 Balaamu akamwambia Balaki, “Je, hukumbuki jinsi nilivyowaambia wajumbe uliowatuma kwangu? Niliwaambia hivi,

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

12 Balaamu akamwambia Balaki, “Je, hukumbuki jinsi nilivyowaambia wajumbe uliowatuma kwangu? Niliwaambia hivi,

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

12 Balaamu akamwambia Balaki, Je! Sikuwaambia wajumbe wako ulionitumia, nikisema,

Tazama sura Nakili




Hesabu 24:12
3 Marejeleo ya Msalaba  

Balaamu akajibu akawaambia watumishi wa Balaki, Hata kama Balaki angenipa nyumba yake imejaa fedha na dhahabu, siwezi kukiuka neno la BWANA, Mungu wangu, kulipunguza au kuliongeza.


Balaamu akamwambia Balaki, Tazama, nimekujia. Je! Mimi sasa nina uwezo wowote kusema neno lolote? Neno lile Mungu atakalolitia kinywani mwangu, ndilo nitakalolisema.


Basi sasa kimbilia mahali pako; niliazimu kukuheshimu sana; lakini, tazama, BWANA amekuzuilia heshima.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo