Hesabu 13:6 - Swahili Revised Union Version Katika kabila la Yuda, Kalebu mwana wa Yefune. Matoleo zaidiBiblia Habari Njema Kabila la Yuda, Kalebu mwana wa Yefune. Biblia Habari Njema - BHND Kabila la Yuda, Kalebu mwana wa Yefune. Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza Kabila la Yuda, Kalebu mwana wa Yefune. Neno: Bibilia Takatifu kutoka kabila la Yuda, Kalebu mwana wa Yefune; Neno: Maandiko Matakatifu kutoka kabila la Yuda, Kalebu mwana wa Yefune; BIBLIA KISWAHILI Katika kabila la Yuda, Kalebu mwana wa Yefune. |
Kalebu akawatuliza watu mbele ya Musa, akasema, Na tupande mara moja tukaimiliki; maana twaweza kushinda bila shaka.
lakini mtumishi wangu Kalebu, kwa kuwa alikuwa na roho nyingine ndani yake, naye amenifuata kwa moyo wote, nitamleta yeye mpaka nchi hiyo aliyoingia; na wazao wake wataimiliki.
hakika yangu hamtaingia ninyi katika nchi, ambayo niliapa kwa kuinua mkono wangu, kwamba nitawafanyia makao humo, isipokuwa Kalebu mwana wa Yefune, na Yoshua mwana wa Nuni.
Lakini Yoshua mwana wa Nuni, na Kalebu mwana wa Yefune, wakabaki hai miongoni mwa wale watu waliokwenda kuipeleleza nchi.
Na Yoshua mwana wa Nuni, na Kalebu mwana wa Yefune, waliokuwa miongoni mwao walioipeleleza nchi, wakararua nguo zao;
Kwa kuwa BWANA alisema juu yao, Hapana budi watakufa nyikani. Napo hapakusalia mtu mmoja miongoni mwao, isipokuwa Kalebu mwana wa Yefune, na Yoshua mwana wa Nuni.