Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Hesabu 13:6 - Swahili Revised Union Version

Katika kabila la Yuda, Kalebu mwana wa Yefune.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Kabila la Yuda, Kalebu mwana wa Yefune.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Kabila la Yuda, Kalebu mwana wa Yefune.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Kabila la Yuda, Kalebu mwana wa Yefune.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

kutoka kabila la Yuda, Kalebu mwana wa Yefune;

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

kutoka kabila la Yuda, Kalebu mwana wa Yefune;

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Katika kabila la Yuda, Kalebu mwana wa Yefune.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Hesabu 13:6
16 Marejeleo ya Msalaba  

Na wana wa Kalebu, mwana wa Yefune; Iru, na Ela, na Naamu; na wana wa Ela; na Kenazi.


Kalebu akawatuliza watu mbele ya Musa, akasema, Na tupande mara moja tukaimiliki; maana twaweza kushinda bila shaka.


Katika kabila la Simeoni, Shafati mwana wa Hori.


Katika kabila la Isakari, Igali mwana wa Yusufu.


lakini mtumishi wangu Kalebu, kwa kuwa alikuwa na roho nyingine ndani yake, naye amenifuata kwa moyo wote, nitamleta yeye mpaka nchi hiyo aliyoingia; na wazao wake wataimiliki.


hakika yangu hamtaingia ninyi katika nchi, ambayo niliapa kwa kuinua mkono wangu, kwamba nitawafanyia makao humo, isipokuwa Kalebu mwana wa Yefune, na Yoshua mwana wa Nuni.


Lakini Yoshua mwana wa Nuni, na Kalebu mwana wa Yefune, wakabaki hai miongoni mwa wale watu waliokwenda kuipeleleza nchi.


Na Yoshua mwana wa Nuni, na Kalebu mwana wa Yefune, waliokuwa miongoni mwao walioipeleleza nchi, wakararua nguo zao;


Kwa kuwa BWANA alisema juu yao, Hapana budi watakufa nyikani. Napo hapakusalia mtu mmoja miongoni mwao, isipokuwa Kalebu mwana wa Yefune, na Yoshua mwana wa Nuni.


Na majina ya watu hao ni haya; katika kabila la Yuda, ni Kalebu mwana wa Yefune.