Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Hesabu 11:3 - Swahili Revised Union Version

Jina la mahali hapo likaitwa Tabera kwa sababu huo moto wa BWANA ukawaka kati yao.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Kwa hiyo, mahali hapo pakaitwa Tabera, kwa sababu hapo moto wa Mwenyezi-Mungu uliwaka kati ya watu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Kwa hiyo, mahali hapo pakaitwa Tabera, kwa sababu hapo moto wa Mwenyezi-Mungu uliwaka kati ya watu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Kwa hiyo, mahali hapo pakaitwa Tabera, kwa sababu hapo moto wa Mwenyezi-Mungu uliwaka kati ya watu.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Hivyo mahali pale pakaitwa Tabera, kwa sababu moto kutoka kwa Mwenyezi Mungu uliwaka miongoni mwao.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Hivyo mahali pale pakaitwa Tabera, kwa sababu moto kutoka kwa bwana uliwaka miongoni mwao.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Jina la mahali hapo likaitwa Tabera kwa sababu huo moto wa BWANA uliwaka kati yao.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Hesabu 11:3
4 Marejeleo ya Msalaba  

Hivyo BWANA aliposikia akaghadhibika; Moto ukawashwa juu ya Yakobo, Hasira nayo ikapanda juu ya Israeli.


Kisha mkutano wa wafuasi waliokuwa kati yao, wakashikwa na tamaa; wana wa Israeli nao wakalia tena, wakasema, Ni nani atakayetupa nyama tule?


Kisha moto ukatoka kwa BWANA, ukawateketeza hao watu mia mbili hamsini waliofukiza uvumba.


Tena huko Tabera, na Masa, na Kibroth-hataava mlimtia BWANA hasira.