Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Hesabu 10:36 - Swahili Revised Union Version

Tena hapo liliposimama, akasema, Ee BWANA, uwarudie maelfu kumi ya maelfu ya Israeli.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Na kila wakati liliposimama, Mose alisema, “Warudie, ee Mwenyezi-Mungu, hawa maelfu na maelfu ya Israeli.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Na kila wakati liliposimama, Mose alisema, “Warudie, ee Mwenyezi-Mungu, hawa maelfu na maelfu ya Israeli.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Na kila wakati liliposimama, Mose alisema, “Warudie, ee Mwenyezi-Mungu, hawa maelfu na maelfu ya Israeli.”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Wakati wowote Sanduku liliposimama, alisema, “Ee Mwenyezi Mungu, rudi, kwa maelfu ya Waisraeli wasiohesabika.”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Wakati wowote Sanduku liliposimama, alisema, “Ee bwana, rudi, kwa maelfu ya Waisraeli wasiohesabika.”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Tena hapo liliposimama, akasema, Ee BWANA, uwarudie maelfu kumi ya maelfu ya Israeli.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Hesabu 10:36
5 Marejeleo ya Msalaba  

Wakambariki Rebeka, wakamwambia, Dada yetu, wewe uwe mama wa elfu kumi, mara elfu nyingi, na wazao wako waurithi mlango wa hao wawachukiao.


Ee BWANA, uinuke, uende kwenye raha yako, Wewe na sanduku la nguvu zako.


Ee BWANA, mbona umetukosesha njia zako, ukatufanya kuwa na mioyo migumu hata tusikuogope? Urudi kwa ajili ya watumishi wako, makabila ya urithi wako.


BWANA, Mungu wenu, amewafanya kuwa wengi, nanyi, angalieni, mmekuwa leo mfano wa nyota za mbinguni kwa wingi.