Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Hesabu 10:24 - Swahili Revised Union Version

Tena juu ya jeshi la kabila la wana wa Benyamini ni Abidani mwana wa Gideoni.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

naye Abidani mwana wa Gideoni, aliliongoza kabila la Benyamini.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

naye Abidani mwana wa Gideoni, aliliongoza kabila la Benyamini.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

naye Abidani mwana wa Gideoni, aliliongoza kabila la Benyamini.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

naye Abidani mwana wa Gideoni alikuwa kiongozi wa kikosi cha kabila la Benyamini.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

naye Abidani mwana wa Gideoni alikuwa kiongozi wa kikosi cha kabila la Benyamini.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Tena juu ya jeshi la kabila la wana wa Benyamini ni Abidani mwana wa Gideoni.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Hesabu 10:24
4 Marejeleo ya Msalaba  

Wa Benyamini Abidani mwana wa Gideoni.


Tena juu ya jeshi la kabila la wana wa Manase ni Gamalieli mwana wa Pedasuri.


Kisha beramu ya kambi ya wana wa Dani, ambayo ilikuwa ni nyuma ya makambi yote, ikasafiri, kwa majeshi yao; na juu ya jeshi lake ni Ahiezeri mwana wa Amishadai.


Siku ya tisa Abidani mwana wa Gideoni, mkuu wa wana wa Benyamini;