Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Hesabu 10:23 - Swahili Revised Union Version

23 Tena juu ya jeshi la kabila la wana wa Manase ni Gamalieli mwana wa Pedasuri.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

23 Gamalieli mwana wa Pedasuri aliliongoza kabila la Manase,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

23 Gamalieli mwana wa Pedasuri aliliongoza kabila la Manase,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

23 Gamalieli mwana wa Pedasuri aliliongoza kabila la Manase,

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

23 Gamalieli mwana wa Pedasuri aliongoza kikosi cha kabila la Manase,

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

23 Gamalieli mwana wa Pedasuri aliongoza kikosi cha kabila la Manase,

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

23 Tena juu ya jeshi la kabila la wana wa Manase ni Gamalieli mwana wa Pedasuri.

Tazama sura Nakili




Hesabu 10:23
4 Marejeleo ya Msalaba  

Katika wana wa Yusufu; wa Efraimu, Elishama mwana wa Amihudi; na wa Manase; Gamalieli mwana wa Pedasuri.


Kisha beramu ya kambi ya wana wa Efraimu ikasafiri kwenda mbele kwa majeshi yao; na juu ya jeshi lake ni Elishama mwana wa Amihudi.


Tena juu ya jeshi la kabila la wana wa Benyamini ni Abidani mwana wa Gideoni.


Siku ya nane Gamalieli mwana wa Pedasuri, mkuu wa wana wa Manase;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo