Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Hesabu 10:24 - Swahili Revised Union Version

24 Tena juu ya jeshi la kabila la wana wa Benyamini ni Abidani mwana wa Gideoni.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

24 naye Abidani mwana wa Gideoni, aliliongoza kabila la Benyamini.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

24 naye Abidani mwana wa Gideoni, aliliongoza kabila la Benyamini.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

24 naye Abidani mwana wa Gideoni, aliliongoza kabila la Benyamini.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

24 naye Abidani mwana wa Gideoni alikuwa kiongozi wa kikosi cha kabila la Benyamini.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

24 naye Abidani mwana wa Gideoni alikuwa kiongozi wa kikosi cha kabila la Benyamini.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

24 Tena juu ya jeshi la kabila la wana wa Benyamini ni Abidani mwana wa Gideoni.

Tazama sura Nakili




Hesabu 10:24
4 Marejeleo ya Msalaba  

Wa Benyamini Abidani mwana wa Gideoni.


Tena juu ya jeshi la kabila la wana wa Manase ni Gamalieli mwana wa Pedasuri.


Kisha beramu ya kambi ya wana wa Dani, ambayo ilikuwa ni nyuma ya makambi yote, ikasafiri, kwa majeshi yao; na juu ya jeshi lake ni Ahiezeri mwana wa Amishadai.


Siku ya tisa Abidani mwana wa Gideoni, mkuu wa wana wa Benyamini;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo