Wa Asheri; Pagieli mwana wa Okirani.
Kabila la Asheri: Pagieli mwana wa Okrani;
kutoka Asheri, ni Pagieli mwana wa Okrani;
Wa Dani; Ahiezeri mwana wa Amishadai.
Wa Gadi; Eliasafu mwana wa Deueli.
Tena juu ya jeshi la kabila la wana wa Asheri ni Pagieli mwana wa Okrani;
Na hao watakaopanga karibu naye ni kabila la Asheri; na mkuu wa wana wa Asheri atakuwa Pagieli mwana wa Okrani;
Na siku ya kumi na moja Pagieli mwana wa Okrani, mkuu wa wana wa Asheri;