Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Filemoni 1:8 - Swahili Revised Union Version

Kwa sababu hiyo, nijapokuwa nina ujasiri katika Kristo kukuagiza likupasalo;

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Kwa sababu hiyo, ningeweza, kwa uhodari kabisa, nikiwa ndugu yako katika kuungana na Kristo, kukuamuru ufanye unachopaswa kufanya.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Kwa sababu hiyo, ningeweza, kwa uhodari kabisa, nikiwa ndugu yako katika kuungana na Kristo, kukuamuru ufanye unachopaswa kufanya.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Kwa sababu hiyo, ningeweza, kwa uhodari kabisa, nikiwa ndugu yako katika kuungana na Kristo, kukuamuru ufanye unachopaswa kufanya.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Hata hivyo, ingawa katika Al-Masihi ningekuwa na ujasiri wa kukuagiza yale yakupasayo kutenda,

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Hata hivyo, ingawa katika Al-Masihi ningeweza kuwa na ujasiri na kukuagiza yale yakupasayo kutenda,

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Kwa sababu hiyo, nijapokuwa nina ujasiri katika Kristo kukuagiza likupasalo;

Tazama sura
Tafsiri zingine



Filemoni 1:8
7 Marejeleo ya Msalaba  

Maana, nijapojisifu zaidi kidogo kwa ajili ya mamlaka yetu, (tuliyopewa na Bwana, tupate kuwajenga wala si kuwaangusha), sitatahayarika;


Nanena kwa jinsi ya kujidhili kana kwamba sisi tulikuwa dhaifu. Lakini, ikiwa mtu anao ujasiri kwa lolote, (nanena kipuuzi), mimi nami ninao ujasiri.


Basi, kwa kuwa mna tumaini la namna hii, twatumia ujasiri mwingi;


wala aibu wala maneno ya upuzi wala ubishi; hayo hayapendezi; bali kuwepo kushukuru.


ingawa tuliteswa na kutukanwa, katika Filipi kama mjuavyo, tulithubutu katika Mungu kuinena Injili ya Mungu kwenu, kwa kuishindania sana.


Hatukutafuta utukufu kwa wanadamu, wala kwenu, wala kwa wengine, ingawa tungeweza kuwalemea kama Mitume wa Kristo;