Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Filemoni 1:8 - Swahili Revised Union Version

8 Kwa sababu hiyo, nijapokuwa nina ujasiri katika Kristo kukuagiza likupasalo;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

8 Kwa sababu hiyo, ningeweza, kwa uhodari kabisa, nikiwa ndugu yako katika kuungana na Kristo, kukuamuru ufanye unachopaswa kufanya.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

8 Kwa sababu hiyo, ningeweza, kwa uhodari kabisa, nikiwa ndugu yako katika kuungana na Kristo, kukuamuru ufanye unachopaswa kufanya.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

8 Kwa sababu hiyo, ningeweza, kwa uhodari kabisa, nikiwa ndugu yako katika kuungana na Kristo, kukuamuru ufanye unachopaswa kufanya.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

8 Hata hivyo, ingawa katika Al-Masihi ningekuwa na ujasiri wa kukuagiza yale yakupasayo kutenda,

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

8 Hata hivyo, ingawa katika Al-Masihi ningeweza kuwa na ujasiri na kukuagiza yale yakupasayo kutenda,

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

8 Kwa sababu hiyo, nijapokuwa nina ujasiri katika Kristo kukuagiza likupasalo;

Tazama sura Nakili




Filemoni 1:8
7 Marejeleo ya Msalaba  

Maana, nijapojisifu zaidi kidogo kwa ajili ya mamlaka yetu, (tuliyopewa na Bwana, tupate kuwajenga wala si kuwaangusha), sitatahayarika;


Nanena kwa jinsi ya kujidhili kana kwamba sisi tulikuwa dhaifu. Lakini, ikiwa mtu anao ujasiri kwa lolote, (nanena kipuuzi), mimi nami ninao ujasiri.


Basi, kwa kuwa mna tumaini la namna hii, twatumia ujasiri mwingi;


wala aibu wala maneno ya upuzi wala ubishi; hayo hayapendezi; bali kuwepo kushukuru.


ingawa tuliteswa na kutukanwa, katika Filipi kama mjuavyo, tulithubutu katika Mungu kuinena Injili ya Mungu kwenu, kwa kuishindania sana.


Hatukutafuta utukufu kwa wanadamu, wala kwenu, wala kwa wengine, ingawa tungeweza kuwalemea kama Mitume wa Kristo;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo