Filemoni 1:8 - Swahili Revised Union Version8 Kwa sababu hiyo, nijapokuwa nina ujasiri katika Kristo kukuagiza likupasalo; Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema8 Kwa sababu hiyo, ningeweza, kwa uhodari kabisa, nikiwa ndugu yako katika kuungana na Kristo, kukuamuru ufanye unachopaswa kufanya. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND8 Kwa sababu hiyo, ningeweza, kwa uhodari kabisa, nikiwa ndugu yako katika kuungana na Kristo, kukuamuru ufanye unachopaswa kufanya. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza8 Kwa sababu hiyo, ningeweza, kwa uhodari kabisa, nikiwa ndugu yako katika kuungana na Kristo, kukuamuru ufanye unachopaswa kufanya. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu8 Hata hivyo, ingawa katika Al-Masihi ningekuwa na ujasiri wa kukuagiza yale yakupasayo kutenda, Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu8 Hata hivyo, ingawa katika Al-Masihi ningeweza kuwa na ujasiri na kukuagiza yale yakupasayo kutenda, Tazama suraBIBLIA KISWAHILI8 Kwa sababu hiyo, nijapokuwa nina ujasiri katika Kristo kukuagiza likupasalo; Tazama sura |