2 Wakorintho 3:12 - Swahili Revised Union Version12 Basi, kwa kuwa mna tumaini la namna hii, twatumia ujasiri mwingi; Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema12 Kwa vile hili ndilo tumaini letu, sisi twasema kwa uhodari mkuu. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND12 Kwa vile hili ndilo tumaini letu, sisi twasema kwa uhodari mkuu. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza12 Kwa vile hili ndilo tumaini letu, sisi twasema kwa uhodari mkuu. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu12 Kwa hiyo, kwa kuwa tunalo tumaini hili, tuna ujasiri sana. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu12 Kwa hiyo, kwa kuwa tunalo tumaini hili, tuna ujasiri sana. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI12 Basi, kwa kuwa mna tumaini la namna hii, twatumia ujasiri mwingi; Tazama sura |