Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Filemoni 1:11 - Swahili Revised Union Version

ambaye zamani alikuwa hakufai, bali sasa akufaa sana, wewe na mimi pia;

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Ni Onesimo yuleyule ambaye wakati mmoja alikuwa hakufai kitu, lakini sasa ananifaa mimi na wewe pia.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Ni Onesimo yuleyule ambaye wakati mmoja alikuwa hakufai kitu, lakini sasa ananifaa mimi na wewe pia.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Ni Onesimo yuleyule ambaye wakati mmoja alikuwa hakufai kitu, lakini sasa ananifaa mimi na wewe pia.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Mwanzoni alikuwa hakufai, lakini sasa anakufaa sana wewe na mimi pia.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Mwanzoni alikuwa hakufai, lakini sasa anakufaa sana wewe na mimi pia.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

ambaye zamani alikuwa hakufai, bali sasa akufaa sana, wewe na mimi pia;

Tazama sura
Tafsiri zingine



Filemoni 1:11
10 Marejeleo ya Msalaba  

Na mtumwa yule asiyefaa, mtupeni mbali katika giza la nje; ndiko kutakuwako kilio na kusaga meno.


kwa kuwa huyu mwanangu alikuwa amekufa, naye amefufuka; alikuwa amepotea, naye ameonekana. Wakaanza kushangilia.


Bali ilibidi kusherehekea na kushangilia kwa kuwa huyu ndugu yako alikuwa amekufa, naye amefufuka; alikuwa amepotea, naye ameonekana.


Vivyo hivyo nanyi, mtakapokwisha kuyafanya yote mliyoagizwa, semeni, Sisi tu watumwa wasio na faida; tumefanya tu yaliyotupasa kufanya.


Wote wamepotoka, wameoza wote pia; Hakuna mtenda mema, la! Hata mmoja.


Luka peke yake yupo hapa pamoja nami. Umtwae Marko, umlete pamoja nawe, maana anifaa kwa utumishi.


Nakusihi kwa ajili ya mtoto wangu niliyemzaa nikiwa kifungoni mwangu, yaani, Onesimo;


niliyemtuma kwako, yeye mwenyewe, maana ni moyo wangu hasa;


ninyi mliokuwa kwanza si taifa, bali sasa ni taifa la Mungu; mliokuwa hamkupata rehema, bali sasa mmepata rehema.