Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




2 Timotheo 4:11 - Swahili Revised Union Version

11 Luka peke yake yupo hapa pamoja nami. Umtwae Marko, umlete pamoja nawe, maana anifaa kwa utumishi.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

11 Luka peke yake ndiye aliye hapa pamoja nami. Mpate Marko uje naye, kwa maana ataweza kunisaidia katika kazi yangu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

11 Luka peke yake ndiye aliye hapa pamoja nami. Mpate Marko uje naye, kwa maana ataweza kunisaidia katika kazi yangu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

11 Luka peke yake ndiye aliye hapa pamoja nami. Mpate Marko uje naye, kwa maana ataweza kunisaidia katika kazi yangu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

11 Ni Luka pekee aliye hapa nami. Mtafute Marko uje naye, kwa sababu ananifaa sana katika huduma yangu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

11 Ni Luka peke yake aliye hapa pamoja nami. Mtafute Marko uje naye kwa sababu ananifaa sana katika huduma yangu.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

11 Luka peke yake yupo hapa pamoja nami. Umtwae Marko, umlete pamoja nawe, maana ananifaa kwa utumishi.

Tazama sura Nakili




2 Timotheo 4:11
15 Marejeleo ya Msalaba  

Mimi nitawaponya kurudi nyuma kwao; nitawapenda kwa ukunjufu wa moyo; kwa maana hasira yangu imemwacha.


Lakini wengi walio wa kwanza watakuwa wa mwisho, na walio wa mwisho watakuwa wa kwanza.


Vivyo hivyo wa mwisho watakuwa wa kwanza, na wa kwanza watakuwa wa mwisho.


Na tazama, wako walio wa mwisho watakaokuwa wa kwanza, na wa kwanza watakaokuwa wa mwisho.


Na alipokuwa akifikiri haya akafika nyumbani kwa Mariamu, mamaye Yohana, ambaye jina lake la pili ni Marko; na watu wengi walikuwa wamekutana humo wakiomba.


Na Barnaba na Sauli, walipokwisha kutimiza huduma yao, wakarejea kutoka Yerusalemu, wakamchukua pamoja nao Yohana aitwaye Marko.


Barnaba akaazimu kumchukua Yohana aliyeitwa Marko pamoja nao.


Basi palitokea mashindano baina yao hata wakatengana. Barnaba akamchukua Marko akaabiri kwenda Kipro.


Basi alipokwisha kuyaona yale maono, mara tukataka kutoka kwenda Makedonia, kwa kuwa tuliona hakika ya kwamba Mungu ametuita tuwahubirie Habari Njema.


Aristarko, aliyefungwa pamoja nami, awasalimu; pamoja na Marko, binamu yake Barnaba, ambaye mmepokea maagizo juu yake; akifika kwenu mkaribisheni.


Luka, yule tabibu mpendwa, na Dema, wanawasalimu.


Waijua habari hii, ya kuwa wote walio wa Asia waliniepuka, ambao miongoni mwao wamo Figelo na Hermogene.


Basi ikiwa mtu amejitakasa kwa kujitenga na hao, atakuwa chombo cha kupata heshima, kilichosafishwa, kimfaacho Bwana, kimetengenezwa kwa kila kazi iliyo njema.


na Marko, na Aristarko, na Dema, na Luka, watendao kazi pamoja nami.


Mwenzenu mteule hapa Babeli awasalimu, na Marko mwanangu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo