Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




2 Timotheo 4:12 - Swahili Revised Union Version

12 Lakini Tikiko nilimtuma Efeso.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

12 Nilimtuma Tukiko kule Efeso.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

12 Nilimtuma Tukiko kule Efeso.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

12 Nilimtuma Tukiko kule Efeso.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

12 Nimemtuma Tikiko huko Efeso.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

12 Nimemtuma Tikiko huko Efeso.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

12 Lakini Tikiko nilimtuma Efeso.

Tazama sura Nakili




2 Timotheo 4:12
11 Marejeleo ya Msalaba  

Wakafika Efeso, akawaacha huko. Yeye mwenyewe akaingia katika sinagogi, akahojiana na Wayahudi.


bali aliagana nao, akisema, Nitarejea kwenu tena, Mungu akinijalia. Akatweka, akatoka Efeso,


Ikawa, Apolo alipokuwa Korintho, Paulo, akiisha kupita kati ya nchi za juu, akafika Efeso; akakutana na wanafunzi kadhaa huko;


Na sasa, tazameni, mimi najua ya kuwa ninyi nyote niliowahubiria ufalme wa Mungu, nikienda huku na huko, hamtaniona uso tena.


Watu hawa wakafuatana naye, Sopatro Mberea, mwana wa Piro, na Aristarko na Sekundo, watu wa Thesalonike; na Gayo mtu wa Derbe, na Timotheo; na Tikiko na Trofimo watu wa Asia.


Basi ili nanyi pia mpate kuzijua habari zangu, ni hali gani, Tikiko, ndugu mpendwa, mhudumu mwaminifu katika Bwana, atawajulisheni mambo yote;


ambaye ninamtuma kwenu kwa kusudi lilo hilo mpate kuzijua habari zetu, naye awafariji mioyo yenu.


Tikiko, ndugu mpendwa, mtumishi mwaminifu, mwenzi wangu katika Bwana, atawaarifu mambo yangu yote;


Kama vile nilivyokusihi ukae Efeso, nilipokuwa nikisafiri kwenda Makedonia, ili uwakataze wengine wasifundishe elimu nyingine;


Wakati nitakapomtuma Artema kwako au Tikiko, jitahidi uwezavyo kujiunga nami katika Nikopoli; kwa kuwa nimekusudia kukaa huku wakati wa baridi.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo