Filemoni 1:11 - Swahili Revised Union Version11 ambaye zamani alikuwa hakufai, bali sasa akufaa sana, wewe na mimi pia; Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema11 Ni Onesimo yuleyule ambaye wakati mmoja alikuwa hakufai kitu, lakini sasa ananifaa mimi na wewe pia. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND11 Ni Onesimo yuleyule ambaye wakati mmoja alikuwa hakufai kitu, lakini sasa ananifaa mimi na wewe pia. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza11 Ni Onesimo yuleyule ambaye wakati mmoja alikuwa hakufai kitu, lakini sasa ananifaa mimi na wewe pia. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu11 Mwanzoni alikuwa hakufai, lakini sasa anakufaa sana wewe na mimi pia. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu11 Mwanzoni alikuwa hakufai, lakini sasa anakufaa sana wewe na mimi pia. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI11 ambaye zamani alikuwa hakufai, bali sasa akufaa sana, wewe na mimi pia; Tazama sura |