Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Ezra 8:6 - Swahili Revised Union Version

Na wa wana wa Adini, Ebedi, mwana wa Yonathani; na pamoja naye wanaume hamsini.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Ebedi, mwana wa Yonathani, wa ukoo wa Adini, pamoja na wanaume 50.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Ebedi, mwana wa Yonathani, wa ukoo wa Adini, pamoja na wanaume 50.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Ebedi, mwana wa Yonathani, wa ukoo wa Adini, pamoja na wanaume 50.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

wa wazao wa Adini, alikuwa Ebedi mwana wa Yonathani na wanaume hamsini;

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

wa wazao wa Adini, alikuwa Ebedi mwana wa Yonathani na wanaume 50 pamoja naye;

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Na wa wana wa Adini, Ebedi, mwana wa Yonathani; na pamoja naye wanaume hamsini.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Ezra 8:6
5 Marejeleo ya Msalaba  

Wazawa wa Adini, mia nne hamsini na wanne.


Wa wana wa Zatu, Shekania, mwana wa Yahazieli; na pamoja naye wanaume mia tatu.


Na wa wana wa Elamu, Yeshaya, mwana wa Athalia; na pamoja naye wanaume sabini.


Adonikamu, Bigwai, Adini;


Wana wa Adini, mia sita hamsini na watano.