Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Ezra 2:41 - Swahili Revised Union Version

Waimbaji; wazawa wa Asafu, mia moja ishirini na wanane.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Waimbaji (wazawa wa Asafu), walikuwa 128.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Waimbaji (wazawa wa Asafu), walikuwa 128.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Waimbaji (wazawa wa Asafu), walikuwa 128.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Waimbaji: wazao wa Asafu, mia moja ishirini na nane (128).

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Waimbaji:

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Waimbaji; wana wa Asafu, mia moja ishirini na wanane.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Ezra 2:41
9 Marejeleo ya Msalaba  

Basi Walawi wakamwagiza Hemani mwana wa Yoeli; na wa nduguze, Asafu mwana wa Berekia; na wa wana wa Merari ndugu zao, Ethani mwana wa Kishi;


ya kumi na nane Hanani, wanawe na nduguze, kumi na wawili;


Na nduguye Asafu, aliyesimama upande wake wa kulia, huyo Asafu alikuwa mwana wa Berekia, mwana wa Shimea;


Walawi; wazawa wa Yeshua, wazawa wa Kadmieli wa wawazawa wa Hodavia, sabini na wanne.


Akina bawabu; wazawa wa Shalumu, wazawa wa Ateri, wazawa wa Talmoni, wazawa wa Akubu, wazawa wa Hatita, wazawa wa Shobai; jumla yao ni mia moja thelathini na tisa.


Hata wajenzi walipouweka msingi wa hekalu la BWANA, wakawaweka makuhani, wamevaa mavazi yao, wenye baragumu, na Walawi, wana wa Asafu, wenye matoazi, ili wamhimidi BWANA, kama alivyoagiza Daudi, mfalme wa Israeli.


na Matania, mwana wa Mika, mwana wa Zikri, mwana wa Asafu, mkuu wa kuanzisha shukrani katika sala, na Bakbukia, wa pili wake miongoni mwa nduguze; na Obadia, mwana wa Shemaya, mwana wa Galali, mwana wa Yeduthuni.


Waimbaji; Wana wa Asafu, mia moja arubaini na wanane.