Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Danieli 6:21 - Swahili Revised Union Version

Ndipo Danieli akamwambia mfalme, Ee mfalme, uishi milele.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Danieli akamjibu mfalme, “Uishi, ee mfalme!

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Danieli akamjibu mfalme, “Uishi, ee mfalme!

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Danieli akamjibu mfalme, “Uishi, ee mfalme!

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Danieli akajibu, “Ee mfalme, uishi milele!

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Danieli akajibu, “Ee mfalme, uishi milele!

Tazama sura

Swahili Roehl Bible 1937

Ndipo, Danieli alipomjibu mfalme: Wewe mfalme, na uwe mwenye uzima kale na kale!

Tazama sura
Tafsiri zingine



Danieli 6:21
5 Marejeleo ya Msalaba  

Nikamwambia mfalme, Mfalme na aishi milele; kwani uso wangu usiwe na huzuni, iwapo mji, ulio mahali pa makaburi ya baba zangu, unakaa ukiwa, na malango yake yameteketezwa kwa moto?


Ndipo hao Wakaldayo wakamwambia mfalme, kwa lugha ya Kiaramu, Ee Mfalme, uishi milele; tuambie sisi watumishi wako ile ndoto, nasi tutakuonesha tafsiri yake.


Kisha Nebukadneza akaukaribia mlango wa lile tanuri lililokuwa linawaka moto. Akanena, akasema, Enyi Shadraka, na Meshaki, na Abednego, watumishi wa Mungu Aliye Juu, tokeni, mje huku. Ndipo Shadraka, na Meshaki, na Abednego, wakatoka katika ule moto.


Wakajibu, wakamwambia mfalme Nebukadneza, Ee mfalme, uishi milele.


Basi wale mawaziri na viongozi wakakusanyika pamoja mbele ya mfalme, wakamwambia hivi, Mfalme Dario, uishi milele.