Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Danieli 6:21 - Swahili Revised Union Version

21 Ndipo Danieli akamwambia mfalme, Ee mfalme, uishi milele.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

21 Danieli akamjibu mfalme, “Uishi, ee mfalme!

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

21 Danieli akamjibu mfalme, “Uishi, ee mfalme!

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

21 Danieli akamjibu mfalme, “Uishi, ee mfalme!

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

21 Danieli akajibu, “Ee mfalme, uishi milele!

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

21 Danieli akajibu, “Ee mfalme, uishi milele!

Tazama sura Nakili

Swahili Roehl Bible 1937

21 Ndipo, Danieli alipomjibu mfalme: Wewe mfalme, na uwe mwenye uzima kale na kale!

Tazama sura Nakili




Danieli 6:21
5 Marejeleo ya Msalaba  

Nikamwambia mfalme, Mfalme na aishi milele; kwani uso wangu usiwe na huzuni, iwapo mji, ulio mahali pa makaburi ya baba zangu, unakaa ukiwa, na malango yake yameteketezwa kwa moto?


Ndipo hao Wakaldayo wakamwambia mfalme, kwa lugha ya Kiaramu, Ee Mfalme, uishi milele; tuambie sisi watumishi wako ile ndoto, nasi tutakuonesha tafsiri yake.


Kisha Nebukadneza akaukaribia mlango wa lile tanuri lililokuwa linawaka moto. Akanena, akasema, Enyi Shadraka, na Meshaki, na Abednego, watumishi wa Mungu Aliye Juu, tokeni, mje huku. Ndipo Shadraka, na Meshaki, na Abednego, wakatoka katika ule moto.


Wakajibu, wakamwambia mfalme Nebukadneza, Ee mfalme, uishi milele.


Basi wale mawaziri na viongozi wakakusanyika pamoja mbele ya mfalme, wakamwambia hivi, Mfalme Dario, uishi milele.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo