Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Danieli 6:19 - Swahili Revised Union Version

Asubuhi mfalme akaondoka mapema, akaenda kwa haraka mpaka penye lile tundu la simba.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Alfajiri na mapema, mfalme Dario aliamka, akaenda kwa haraka kwenye pango la simba.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Alfajiri na mapema, mfalme Dario aliamka, akaenda kwa haraka kwenye pango la simba.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Alfajiri na mapema, mfalme Dario aliamka, akaenda kwa haraka kwenye pango la simba.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Asubuhi na mapema, mfalme akaondoka na kuharakisha kwenda kwenye tundu la simba.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Asubuhi na mapema, mfalme akaondoka na kuharakisha kwenda kwenye tundu la simba.

Tazama sura

Swahili Roehl Bible 1937

Asubuhi mapema kulipopambazuka, mfalme akaondoka, akaenda na kulikimbilia lile pango la simba.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Danieli 6:19
6 Marejeleo ya Msalaba  

Kisha mfalme akaenda nyumbani kwake, akakesha usiku kucha, akafunga; na vinanda havikuletwa mbele yake; na usingizi wake ukampaa.


Naye alipolikaribia lile tundu, akamlilia Danieli kwa sauti ya huzuni; mfalme akanena; akamwambia Danieli, Ee Danieli, mtumishi wa Mungu aliye hai, je! Mungu wako, unayemtumikia daima, aweza kukuponya na simba hawa?


Na sabato ilipokwisha, ikipambazuka siku ya kwanza ya juma, Mariamu Magdalene, na Mariamu yule wa pili, walikwenda kulitazama kaburi.


Na alfajiri mapema, siku ya kwanza ya juma, wakaenda kaburini, jua lilipoanza kuchomoza;


sikuona raha nafsini mwangu, kwa sababu sikumwona Tito ndugu yangu, bali niliagana nao, nikaondoka kwenda Makedonia.


Kwa hiyo mimi nami nilipokuwa siwezi kuvumilia tena, nilituma mtu ili niijue imani yenu, asije yule mjaribu akawajaribu, na taabu yetu ikawa haina faida.