Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Danieli 3:9 - Swahili Revised Union Version

Wakajibu, wakamwambia mfalme Nebukadneza, Ee mfalme, uishi milele.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

“Uishi, ee mfalme!

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

“Uishi, ee mfalme!

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

“Uishi, ee mfalme!

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Wakamwambia Mfalme Nebukadneza, “Ee mfalme, uishi milele!

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Wakamwambia Mfalme Nebukadneza, “Ee mfalme, uishi milele!

Tazama sura

Swahili Roehl Bible 1937

wakamwambia mfalme Nebukadinesari hivyo: E mfalme, na uwe mwenye uzima kale na kale!

Tazama sura
Tafsiri zingine



Danieli 3:9
7 Marejeleo ya Msalaba  

Ndipo Bathsheba akainama kifudifudi, akamsujudia mfalme, akasema, Bwana wangu mfalme Daudi na aishi milele.


Ndipo hao Wakaldayo wakamwambia mfalme, kwa lugha ya Kiaramu, Ee Mfalme, uishi milele; tuambie sisi watumishi wako ile ndoto, nasi tutakuonesha tafsiri yake.


Basi malkia, kwa sababu ya maneno ya mfalme na ya wakuu wake, akaingia katika nyumba ya karamu; malkia akanena, akasema, Ee mfalme, uishi milele; fikira zako zisikufadhaishe; wala uso wako usibadilike.


Ndipo Danieli akamwambia mfalme, Ee mfalme, uishi milele.


Basi wale mawaziri na viongozi wakakusanyika pamoja mbele ya mfalme, wakamwambia hivi, Mfalme Dario, uishi milele.


Wapeni wote haki zao; mtu wa kodi, kodi; mtu wa ushuru, ushuru; astahiliye hofu, hofu; astahiliye heshima, heshima.