Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Danieli 10:10 - Swahili Revised Union Version

Na tazama, mkono ukanigusa, ukaniweka juu ya magoti yangu, na viganja vya mikono yangu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Hapo, mkono ukanigusa, ukanisimamisha, na kuimarisha miguu na mikono yangu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Hapo, mkono ukanigusa, ukanisimamisha, na kuimarisha miguu na mikono yangu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Hapo, mkono ukanigusa, ukanisimamisha, na kuimarisha miguu na mikono yangu.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Mkono ulinigusa, ukaninyanyua na kuniweka magotini, mikono yangu ikishika chini, huku nikiwa bado ninatetemeka.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Mkono ulinigusa, ukaninyanyua, na kuniweka nikipiga magoti na mikono yangu ikashika chini, huku nikiwa bado ninatetemeka.

Tazama sura

Swahili Roehl Bible 1937

Mara mkono ukanigusa, ukanisaidia kuinuka, kwa kuwa magoti na viganja vya mikono vilikuwa vikitetemeka.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Danieli 10:10
6 Marejeleo ya Msalaba  

Ndipo BWANA akaunyosha mkono wake, akanigusa kinywa changu; BWANA akaniambia, Tazama, nimetia maneno yangu kinywani mwako;


Na kumbe, mmoja mfano wa wanadamu akanigusa midomo yangu; ndipo nikafumbua kinywa changu, nikanena, nikamwambia yeye aliyesimama karibu nami, Ee Bwana wangu, kwa sababu ya maono haya huzuni zangu zimenipata tena; hata sikubakia na nguvu.


Kisha mmoja mfano wa mwanadamu akanigusa tena, akanitia nguvu.


Basi alipokuwa akisema nami, nilishikwa na usingizi mzito na uso wangu uliielekea nchi; lakini alinigusa, akanisimamisha wima.


naam, nilipokuwa nikinena katika kuomba, mtu yule, Gabrieli, niliyemwona katika njozi hapo kwanza, akirushwa upesi, alinigusa panapo wakati wa dhabihu ya jioni.


Nami nilipomwona, nilianguka miguuni pake kama mtu aliyekufa. Akaweka mkono wake wa kulia juu yangu, akisema, Usiogope, Mimi ni wa kwanza na wa mwisho,