Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Amosi 2:16 - Swahili Revised Union Version

Naye mwenye moyo mkuu miongoni mwa mashujaa Atakimbia uchi siku ile, asema BWANA.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Siku hiyo, hata askari hodari watatimua mbio bila chochote. Mimi Mwenyezi-Mungu nimesema.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Siku hiyo, hata askari hodari watatimua mbio bila chochote. Mimi Mwenyezi-Mungu nimesema.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Siku hiyo, hata askari hodari watatimua mbio bila chochote. Mimi Mwenyezi-Mungu nimesema.”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Hata askari walio mashujaa sana siku hiyo watakimbia uchi,” asema Mwenyezi Mungu.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Hata askari walio mashujaa sana siku hiyo watakimbia uchi,” asema bwana.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Naye mwenye moyo mkuu miongoni mwa mashujaa Atakimbia uchi siku ile, asema BWANA.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Amosi 2:16
5 Marejeleo ya Msalaba  

Wametekwa wenye moyo thabiti; Wamelala usingizi; Wala hawakuiona mikono yao Watu wote walio hodari.


Miji imetwaliwa, ngome zimeshambuliwa, na mioyo ya mashujaa wa Moabu siku hiyo itakuwa kama moyo wa mwanamke akiwa katika uchungu wa kujifungua.


naye akaiacha ile nguo ya kitani, akakimbia akiwa uchi.


Lakini Sisera akakimbia kwa miguu, akaifikia hema ya Yaeli mkewe Heberi, Mkeni; kwa maana palikuwa na amani kati ya Yabini, mfalme wa Hazori, na nyumba ya Heberi, Mkeni.